2 Mambo ya Nyakati 15 : 9 2nd Chronicles chapter 15 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 15:9
Akakusanya Yuda wote na Benyamini, na hao wageni waliokaa kwao, wa Efraimu, na wa Manase, na wa Simeoni; kwa kuwa walimwangukia wengi katika Israeli, walipoona kwamba Bwana, Mungu wake, alikuwa pamoja naye.
|
2nd Chronicles 15:9He gathered all Judah and Benjamin, and those who sojourned with them out of Ephraim and Manasseh, and out of Simeon: for they fell to him out of Israel in abundance, when they saw that Yahweh his God was with him. |