2 Mambo ya Nyakati 15 : 2 2nd Chronicles chapter 15 verse 2

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 15:2

naye akatoka ili amlaki Asa, akamwambia, Nisikieni, Ee Asa, na Yuda wote na Benyamini; Bwana yu pamoja nanyi, mkiwa pamoja naye; nanyi mkimtafuta ataonekana kwenu; lakini mkimwacha atawaacha ninyi.
soma Mlango wa 15

2nd Chronicles 15:2

and he went out to meet Asa, and said to him, Hear you me, Asa, and all Judah and Benjamin: Yahweh is with you, while you are with him; and if you seek him, he will be found of you; but if you forsake him, he will forsake you.