2 Mambo ya Nyakati 13 : 8 2nd Chronicles chapter 13 verse 8

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 13:8

Hata sasa mwajidhania kuwa mtauzuia ufalme wa Bwana mikononi mwa wana wa Daudi; nanyi mmekuwa jamii kubwa, na kwenu mna ndama za dhahabu alizowafanyia Yeroboamu kuwa miungu.
soma Mlango wa 13

2nd Chronicles 13:8

Now you think to withstand the kingdom of Yahweh in the hand of the sons of David; and you are a great multitude, and there are with you the golden calves which Jeroboam made you for gods.