2 Mambo ya Nyakati 13 : 8 2nd Chronicles chapter 13 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 13:8
Hata sasa mwajidhania kuwa mtauzuia ufalme wa Bwana mikononi mwa wana wa Daudi; nanyi mmekuwa jamii kubwa, na kwenu mna ndama za dhahabu alizowafanyia Yeroboamu kuwa miungu.
|
2nd Chronicles 13:8Now you think to withstand the kingdom of Yahweh in the hand of the sons of David; and you are a great multitude, and there are with you the golden calves which Jeroboam made you for gods. |