2 Mambo ya Nyakati 11 : 1 2nd Chronicles chapter 11 verse 1

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 11:1

Hata Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, watu wateule mia na themanini elfu waliokuwa hodari, watu wa vita, ili wapigane juu ya Israeli, ili wamrudishie Rehoboamu huo ufalme.
soma Mlango wa 11

2nd Chronicles 11:1

When Rehoboam was come to Jerusalem, he assembled the house of Judah and Benjamin, one hundred eighty thousand chosen men, who were warriors, to fight against Israel, to bring the kingdom again to Rehoboam.