2 Wathesalonike 2 : 2 2dThessalonians chapter 2 verse 2

Swahili English Translation

2 Wathesalonike 2:2

kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha nia yenu, wala msisitushwe, kwa roho, wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, kana kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.
soma Mlango wa 2

2dThessalonians 2:2

not to be quickly shaken in your mind, nor yet be troubled, either by spirit, or by word, or by letter as from us, saying that the day of Christ had come.