1 Wathesalonike 4 : 15 1st Thessalonians chapter 4 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wathesalonike 4:15
Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.
|
1st Thessalonians 4:15For this we tell you by the word of the Lord, that we who are alive, who are left to the coming of the Lord, will in no way precede those who have fallen asleep. |