1 Samweli 26 : 3 1st Samuel chapter 26 verse 3

Swahili English Translation

1 Samweli 26:3

Naye Sauli akapiga hema katika kilima cha Hakila, kilichoelekea Yeshimoni, barabarani; lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, akaona ya kwamba Sauli amemfuata mpaka nyikani.
soma Mlango wa 26

1st Samuel 26:3

Saul encamped in the hill of Hachilah, which is before the desert, by the way. But David abode in the wilderness, and he saw that Saul came after him into the wilderness.