1 Samweli 26 : 2 1st Samuel chapter 26 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Samweli 26:2
Basi Sauli akaondoka, akashuka nyikani kwa Zifu, naye alikuwa na watu elfu tatu, wateule wa Israeli, pamoja naye, ili kumtafuta Daudi katika nyika ya Zifu.
|
1st Samuel 26:2Then Saul arose, and went down to the wilderness of Ziph, having three thousand chosen men of Israel with him, to seek David in the wilderness of Ziph. |