1 Samweli 26 : 12 1st Samuel chapter 26 verse 12

Swahili English Translation

1 Samweli 26:12

Basi Daudi akalitwaa lile fumo, na lile gudulia la maji, kichwani pa Sauli; nao wakaenda zao, wala hapana mtu aliyeliona jambo hili wala kulijua, wala kuamka; maana wote walikuwa wamelala; kwa kuwa usingizi mzito kutoka kwa Bwana umewaangukia.
soma Mlango wa 26

1st Samuel 26:12

So David took the spear and the jar of water from Saul's head; and they got them away: and no man saw it, nor knew it, neither did any awake; for they were all asleep, because a deep sleep from Yahweh was fallen on them.