1 Samweli 23 : 7 1st Samuel chapter 23 verse 7

Swahili English Translation

1 Samweli 23:7

Kisha Sauli aliambiwa ya kwamba Daudi amefika Keila. Sauli akasema, Mungu amemtia mkononi mwangu; kwa maana amefungwa ndani, kwa vile alivyoingia katika mji wenye malango na makomeo.
soma Mlango wa 23

1st Samuel 23:7

It was told Saul that David was come to Keilah. Saul said, God has delivered him into my hand; for he is shut in, by entering into a town that has gates and bars.