1 Samweli 23 : 13 1st Samuel chapter 23 verse 13

Swahili English Translation

1 Samweli 23:13

Basi Daudi na watu wake, ambao wapata kama mia sita, wakaondoka na kutoka Keila, wakaenda po pote walipoweza kwenda. Kisha Sauli akaambiwa ya kwamba Daudi amekimbia toka Keila; akaacha kutoka nje.
soma Mlango wa 23

1st Samuel 23:13

Then David and his men, who were about six hundred, arose and departed out of Keilah, and went wherever they could go. It was told Saul that David was escaped from Keilah; and he gave up going there.