1 Samweli 22 : 1 1st Samuel chapter 22 verse 1

Swahili English Translation

1 Samweli 22:1

Basi Daudi akaondoka huko, akakimbilia pango la Adulamu; na ndugu zake na watu wote wa mbari ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.
soma Mlango wa 22

1st Samuel 22:1

David therefore departed there, and escaped to the cave of Adullam: and when his brothers and all his father's house heard it, they went down there to him.