1 Samweli 2 : 36 1st Samuel chapter 2 verse 36

Swahili English Translation

1 Samweli 2:36

Kisha itakuwa, ya kwamba kila mtu atakayesalia katika nyumba yako atakwenda kumsujudia, apate kipande kidogo cha fedha, na mkate mmoja; na kumwambia, Tafadhali unitie katika kazi mojawapo ya ukuhani, nipate kula kipande kidogo cha mkate.
soma Mlango wa 2

1st Samuel 2:36

It shall happen, that everyone who is left in your house shall come and bow down to him for a piece of silver and a loaf of bread, and shall say, Please put me into one of the priests' offices, that I may eat a morsel of bread.