1 Samweli 2 : 13 1st Samuel chapter 2 verse 13

Swahili English Translation

1 Samweli 2:13

wala haki ya makuhani ilivyokuwa kwa watu. Wakati huo mtu ye yote alipotoa dhabihu wakati wo wote, ndipo huja mtumishi wa kuhani, nyama ilipokuwa katika kutokota, naye akawa na uma wa meno matatu mkononi mwake;
soma Mlango wa 2

1st Samuel 2:13

The custom of the priests with the people was that when any man offered sacrifice, the priest's servant came, while the flesh was boiling, with a flesh-hook of three teeth in his hand;