1 Samweli 18 : 10 1st Samuel chapter 18 verse 10

Swahili English Translation

1 Samweli 18:10

Ikawa siku ya pili yake, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamjilia Sauli kwa nguvu, naye akatabiri ndani ya nyumba. Basi Daudi alikuwa akipiga kinubi kwa mkono wake kama siku zote; naye Sauli alikuwa na mkuki mkononi mwake.
soma Mlango wa 18

1st Samuel 18:10

It happened on the next day, that an evil spirit from God came mightily on Saul, and he prophesied in the midst of the house: and David played with his hand, as he did day by day. Saul had his spear in his hand;