1 Samweli 14 : 42 1st Samuel chapter 14 verse 42

Swahili English Translation

1 Samweli 14:42

Basi Sauli akasema, Sasa piga kati ya mimi na mwanangu Yonathani, [naye awaye yote ambaye Bwana atamtwaa, atakufa. Nao watu wakamwambia Sauli, La! Sivyo hivyo; lakini Sauli akawaweza watu. Nao wakapiga kati ya yeye na mwanawe Yonathani,]
soma Mlango wa 14

1st Samuel 14:42

Saul said, Cast [lots] between me and Jonathan my son. Jonathan was taken.