1 Samweli 14 : 41 1st Samuel chapter 14 verse 41

Swahili English Translation

1 Samweli 14:41

Kwa hiyo Sauli akamwambia Bwana, Mungu wa Israeli, [Kwani usimjibu mtumishi wako leo? Ikiwa dhambi i ndani yangu, au ndani yake Yonathani mwanangu, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, utoe Urimu; bali ukisema hivi, Dhambi i katika watu wako Israeli,] utoe Thumimu ,Basi Yonathani na Sauli wakatwaliwa,lakini watu wakapona.
soma Mlango wa 14

1st Samuel 14:41

Therefore Saul said to Yahweh, the God of Israel, Show the right. Jonathan and Saul were taken [by lot]; but the people escaped.