1 Samweli 14 : 3 1st Samuel chapter 14 verse 3

Swahili English Translation

1 Samweli 14:3

na Ahiya, mwana wa Ahitubu nduguye Ikabodi, mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa Bwana huko Shilo, mwenye kuvaa naivera. Tena hao watu hawakujua ya kwamba Yonathani ameondoka.
soma Mlango wa 14

1st Samuel 14:3

and Ahijah, the son of Ahitub, Ichabod's brother, the son of Phinehas, the son of Eli, the priest of Yahweh in Shiloh, wearing an ephod. The people didn't know that Jonathan was gone.