1 Samweli 13 : 22 1st Samuel chapter 13 verse 22

Swahili English Translation

1 Samweli 13:22

Hivyo ikawa, siku ya vita, haukuonekana mkononi mwa mtu ye yote, miongoni mwa watu waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani, upanga wala mkuki; isipokuwa Sauli mwenyewe na mwanawe Yonathani walikuwa navyo.
soma Mlango wa 13

1st Samuel 13:22

So it came to pass in the day of battle, that there was neither sword nor spear found in the hand of any of the people who were with Saul and Jonathan: but with Saul and with Jonathan his son was there found.