1 Samweli 13 : 22 1st Samuel chapter 13 verse 22
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Samweli 13:22
Hivyo ikawa, siku ya vita, haukuonekana mkononi mwa mtu ye yote, miongoni mwa watu waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani, upanga wala mkuki; isipokuwa Sauli mwenyewe na mwanawe Yonathani walikuwa navyo.
|
1st Samuel 13:22So it came to pass in the day of battle, that there was neither sword nor spear found in the hand of any of the people who were with Saul and Jonathan: but with Saul and with Jonathan his son was there found. |