1 Samweli 13 : 2 1st Samuel chapter 13 verse 2

Swahili English Translation

1 Samweli 13:2

Naye Sauli alijichagulia watu elfu tatu wa Israeli; ambao katika hao, elfu mbili walikuwa pamoja na Sauli katika Mikmashi, na katika mlima wa Betheli na elfu moja pamoja na Yonathani katika Gibea ya Benyamini; nao wale watu waliosalia akawaruhusu waende kila mtu hemani kwake.
soma Mlango wa 13

1st Samuel 13:2

Saul chose him three thousand men of Israel, of which two thousand were with Saul in Michmash and in the Mount of Bethel, and one thousand were with Jonathan in Gibeah of Benjamin: and the rest of the people he sent every man to his tent.