1 Samweli 10 : 11 1st Samuel chapter 10 verse 11

Swahili English Translation

1 Samweli 10:11

Ikawa, wote waliomjua zamani walipoliona jambo hilo, kwamba, tazama, huyo anatabiri pamoja na manabii, ndipo watu wakasemezana, Ni nini hilo lililompata mwana wa Kishi? Je! Sauli pia yumo miongoni mwa manabii?
soma Mlango wa 10

1st Samuel 10:11

It happened, when all who knew him before saw that, behold, he prophesied with the prophets, then the people said one to another, What is this that is come to the son of Kish? Is Saul also among the prophets?