1 Wafalme 9 : 25 1st Kings chapter 9 verse 25

Swahili English Translation

1 Wafalme 9:25

Na mara tatu kila mwaka Sulemani alikuwa akitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu aliyomjengea Bwana akafukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu iliyokuwako mbele za Bwana. Hivyo akaimaliza nyumba.
soma Mlango wa 9

1st Kings 9:25

Three times a year did Solomon offer burnt offerings and peace-offerings on the altar which he built to Yahweh, burning incense therewith, [on the altar] that was before Yahweh. So he finished the house.