1 Wafalme 9 : 21 1st Kings chapter 9 verse 21

Swahili English Translation

1 Wafalme 9:21

watoto wao waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuweza kuwaharibu kabisa, katika hao Sulemani akawatumikisha shokoa hata leo.
soma Mlango wa 9

1st Kings 9:21

their children who were left after them in the land, whom the children of Israel were not able utterly to destroy, of them did Solomon raise a levy of bondservants to this day.