1 Wafalme 22 : 34 1st Kings chapter 22 verse 34

Swahili English Translation

1 Wafalme 22:34

Mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari lake, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.
soma Mlango wa 22

1st Kings 22:34

A certain man drew his bow at a venture, and struck the king of Israel between the joints of the armor: therefore he said to the driver of his chariot, Turn your hand, and carry me out of the host; for I am severely wounded.