1 Wafalme 20 : 30 1st Kings chapter 20 verse 30

Swahili English Translation

1 Wafalme 20:30

Lakini waliosalia wakakimbia mpaka Afeki, mjini; na ukuta ukaanguka juu ya watu ishirini na saba elfu waliosalia. Ben-hadadi naye akakimbia, akaingia mjini, katika chumba cha ndani.
soma Mlango wa 20

1st Kings 20:30

But the rest fled to Aphek, into the city; and the wall fell on twenty-seven thousand men who were left. Ben Hadad fled, and came into the city, into an inner chamber.