1 Wafalme 18 : 36 1st Kings chapter 18 verse 36

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:36

Ikawa, wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, Eliya nabii akakaribia, akasema, Ee Bwana, Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo ya kuwa wewe ndiwe Mungu katika Israeli, na ya kuwa mimi ni mtumishi wako, na ya kuwa nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:36

It happened at the time of the offering of the [evening] offering, that Elijah the prophet came near, and said, Yahweh, the God of Abraham, of Isaac, and of Israel, let it be known this day that you are God in Israel, and that I am your servant, and that I have done all these things at your word.