1 Wafalme 18 : 27 1st Kings chapter 18 verse 27

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:27

Ikawa, wakati wa adhuhuri, Eliya akawafanyia dhihaka, akasema, Mwiteni kwa sauti kuu; maana ni mungu huyo; labda anazungumza, au ana shughuli, au anasafiri, au labda amelala, sharti aamshwe.
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:27

It happened at noon, that Elijah mocked them, and said, Cry aloud; for he is a god: either he is musing, or he is gone aside, or he is on a journey, or peradventure he sleeps and must be awakened.