1 Wafalme 18 : 13 1st Kings chapter 18 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 18:13
Je! Bwana wangu hakuambiwa nilivyofanya hapo Yezebeli alipowaua manabii wa Bwana? Jinsi nilivyowaficha manabii wa Bwana, watu mia, hamsini hamsini katika pango, nikawalisha chakula na kuwapa maji?
|
1st Kings 18:13Wasn't it told my lord what I did when Jezebel killed the prophets of Yahweh, how I hid one hundred men of Yahweh's prophets by fifty in a cave, and fed them with bread and water? |