1 Wafalme 18 : 13 1st Kings chapter 18 verse 13

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:13

Je! Bwana wangu hakuambiwa nilivyofanya hapo Yezebeli alipowaua manabii wa Bwana? Jinsi nilivyowaficha manabii wa Bwana, watu mia, hamsini hamsini katika pango, nikawalisha chakula na kuwapa maji?
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:13

Wasn't it told my lord what I did when Jezebel killed the prophets of Yahweh, how I hid one hundred men of Yahweh's prophets by fifty in a cave, and fed them with bread and water?