1 Wafalme 18 : 10 1st Kings chapter 18 verse 10

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:10

Kama Bwana, Mungu wako, aishivyo, hakuna taifa wala ufalme ambao bwana wangu hakutuma watu wakutafute; na waliposema, Hayupo, akawaapisha ule ufalme, na taifa, ya kwamba hawakukuona.
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:10

As Yahweh your God lives, there is no nation or kingdom, where my lord has not sent to seek you: and when they said, He is not here, he took an oath of the kingdom and nation, that they didn't find you.