1 Wafalme 16 : 8 1st Kings chapter 16 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 16:8
Katika mwaka wa ishirini na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha alianza kutawala juu ya Israeli huko Tirza, akatawala miaka miwili.
|
1st Kings 16:8In the twenty-sixth year of Asa king of Judah began Elah the son of Baasha to reign over Israel in Tirzah, [and reigned] two years. |