1 Wafalme 16 : 8 1st Kings chapter 16 verse 8

Swahili English Translation

1 Wafalme 16:8

Katika mwaka wa ishirini na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha alianza kutawala juu ya Israeli huko Tirza, akatawala miaka miwili.
soma Mlango wa 16

1st Kings 16:8

In the twenty-sixth year of Asa king of Judah began Elah the son of Baasha to reign over Israel in Tirzah, [and reigned] two years.