1 Wafalme 16 : 7 1st Kings chapter 16 verse 7

Swahili English Translation

1 Wafalme 16:7

Tena neno la Bwana likaja kwa mkono wa nabii Yehu mwana wa Hanani juu ya Baasha, na juu ya nyumba yake, kwa sababu ya mabaya yote aliyoyatenda machoni pa Bwana, akimghadhibisha kwa kazi ya mikono yake, kwa kufanana na nyumba ya Yeroboamu, na kwa sababu aliiharibu.
soma Mlango wa 16

1st Kings 16:7

Moreover by the prophet Jehu the son of Hanani came the word of Yahweh against Baasha, and against his house, both because of all the evil that he did in the sight of Yahweh, to provoke him to anger with the work of his hands, in being like the house of Jeroboam, and because he struck him.