1 Wafalme 16 : 34 1st Kings chapter 16 verse 34

Swahili English Translation

1 Wafalme 16:34

Katika siku zake, Hieli Mbetheli akajenga Yeriko; akatia misingi yake kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, na kuyaweka malango yake kwa kufiwa na mwana wake mdogo Segubu; sawasawa na neno la Bwana alilolinena kwa Yoshua mwana wa Nuni. </p>
soma Mlango wa 16

1st Kings 16:34

In his days did Hiel the Bethelite build Jericho: he laid the foundation of it with the loss of Abiram his firstborn, and set up the gates of it with the loss of his youngest son Segub, according to the word of Yahweh, which he spoke by Joshua the son of Nun.