1 Wafalme 16 : 19 1st Kings chapter 16 verse 19

Swahili English Translation

1 Wafalme 16:19

kwa sababu ya makosa aliyoyakosa, akifanya mabaya machoni pa Bwana, kwa kuiendea njia ya Yeroboamu na makosa yake aliyoyafanya akiwakosesha Israeli.
soma Mlango wa 16

1st Kings 16:19

for his sins which he sinned in doing that which was evil in the sight of Yahweh, in walking in the way of Jeroboam, and in his sin which he did, to make Israel to sin.