1 Wafalme 16 : 19 1st Kings chapter 16 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 16:19
kwa sababu ya makosa aliyoyakosa, akifanya mabaya machoni pa Bwana, kwa kuiendea njia ya Yeroboamu na makosa yake aliyoyafanya akiwakosesha Israeli.
|
1st Kings 16:19for his sins which he sinned in doing that which was evil in the sight of Yahweh, in walking in the way of Jeroboam, and in his sin which he did, to make Israel to sin. |