1 Wafalme 16 : 15 1st Kings chapter 16 verse 15

Swahili English Translation

1 Wafalme 16:15

Katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala muda wa siku saba huko Tirza. Basi, watu walikuwa wametua maragoni kupigana na Gibethoni, ulio wa Wafilisti.
soma Mlango wa 16

1st Kings 16:15

In the twenty-seventh year of Asa king of Judah did Zimri reign seven days in Tirzah. Now the people were encamped against Gibbethon, which belonged to the Philistines.