1 Wafalme 15 : 33 1st Kings chapter 15 verse 33

Swahili English Translation

1 Wafalme 15:33

Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya alianza kutawala juu ya Israeli wote huko Tirza, akatawala miaka ishirini na minne.
soma Mlango wa 15

1st Kings 15:33

In the third year of Asa king of Judah began Baasha the son of Ahijah to reign over all Israel in Tirzah, [and reigned] twenty-four years.