1 Wafalme 12 : 16 1st Kings chapter 12 verse 16

Swahili English Translation

1 Wafalme 12:16

Basi Israeli wote walipoona ya kuwa mfalme hakuwasikia, hao watu walimjibu mfalme, wakasema, Tuna sehemu gani katika Daudi? Wala hatuna urithi katika mwana wa Yese. Haya! Nendeni zenu hemani kwenu, enyi Israeli; sasa itunze nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi. Hivyo Israeli wakaenda zao hemani kwao.
soma Mlango wa 12

1st Kings 12:16

When all Israel saw that the king didn't listen to them, the people answered the king, saying, What portion have we in David? neither have we inheritance in the son of Jesse: to your tents, Israel: now see to your own house, David. So Israel departed to their tents.