1 Wafalme 11 : 6 1st Kings chapter 11 verse 6

Swahili English Translation

1 Wafalme 11:6

Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake.
soma Mlango wa 11

1st Kings 11:6

Solomon did that which was evil in the sight of Yahweh, and didn't go fully after Yahweh, as did David his father.