1 Wafalme 10 : 29 1st Kings chapter 10 verse 29

Swahili English Translation

1 Wafalme 10:29

Tena gari huja kutoka katika Misri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa mia hamsini; vivyo watu wakawaletea wafalme wote wa Wahiti, na wafalme wa Shamu, mikononi mwao.
soma Mlango wa 10

1st Kings 10:29

A chariot came up and went out of Egypt for six hundred [shekels] of silver, and a horse for one hundred fifty; and so for all the kings of the Hittites, and for the kings of Syria, did they bring them out by their means.