1 Mambo ya Nyakati 9 : 44 1st Chronicles chapter 9 verse 44

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 9:44

naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli
soma Mlango wa 9

1st Chronicles 9:44

Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan: these were the sons of Azel.