1 Mambo ya Nyakati 9 : 33 1st Chronicles chapter 9 verse 33

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 9:33

Tena hawa ndio waimbaji, wakuu wa mbari za baba zao katika Walawi, ambao walikaa vyumbani, kisha walikuwa hawana kazi nyingine; kwa kuwa walitumika katika kazi yao mchana na usiku.
soma Mlango wa 9

1st Chronicles 9:33

These are the singers, heads of fathers' [houses] of the Levites, [who lived] in the chambers [and were] free [from other service]; for they were employed in their work day and night.