1 Mambo ya Nyakati 28 : 21 1st Chronicles chapter 28 verse 21

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 28:21

Na tazama, hizo zamu za makuhani na Walawi ziko, kwa utumishi wote wa nyumba ya Mungu; nao watakuwapo pamoja nawe kwa kazi ya kila namna, kila mtu mwenye hiari, aliye stadi kwa utumishi wo wote; tena maakida na watu wote watakuwa chini ya amri yako kabisa.
soma Mlango wa 28

1st Chronicles 28:21

Behold, there are the divisions of the priests and the Levites, for all the service of the house of God: and there shall be with you in all manner of work every willing man who has skill, for any manner of service: also the captains and all the people will be entirely at your command.