1 Mambo ya Nyakati 27 : 5 1st Chronicles chapter 27 verse 5

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 27:5

Akida wa tatu wa jeshi mwezi wa tatu alikuwa Benaya, mwana wa Yehoyada, kuhani; alikuwa mkuu, na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
soma Mlango wa 27

1st Chronicles 27:5

The third captain of the host for the third month was Benaiah, the son of Jehoiada the priest, chief: and in his division were twenty-four thousand.