1 Mambo ya Nyakati 27 : 14 1st Chronicles chapter 27 verse 14

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 27:14

Akida wa kumi na moja wa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya, Mpirathoni, wa wana wa Efraimu; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
soma Mlango wa 27

1st Chronicles 27:14

The eleventh [captain] for the eleventh month was Benaiah the Pirathonite, of the children of Ephraim: and in his division were twenty-four thousand.