1 Mambo ya Nyakati 27 : 12 1st Chronicles chapter 27 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Mambo ya Nyakati 27:12
Akida wa kenda wa mwezi wa kenda alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
|
1st Chronicles 27:12The ninth [captain] for the ninth month was Abiezer the Anathothite, of the Benjamites: and in his division were twenty-four thousand. |