1 Mambo ya Nyakati 27 : 11 1st Chronicles chapter 27 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Mambo ya Nyakati 27:11
Akida wa nane wa mwezi wa nane alikuwa Sibekai, Mhushathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
|
1st Chronicles 27:11The eighth [captain] for the eighth month was Sibbecai the Hushathite, of the Zerahites: and in his division were twenty-four thousand. |