1 Mambo ya Nyakati 23 : 28 1st Chronicles chapter 23 verse 28

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 23:28

Kwani kazi yao ilikuwa kuwangojea wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya Bwana, nyuani, na vyumbani, na kwa kuvisafisha vitakatifu vyote, ndiyo kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu;
soma Mlango wa 23

1st Chronicles 23:28

For their office was to wait on the sons of Aaron for the service of the house of Yahweh, in the courts, and in the chambers, and in the purifying of all holy things, even the work of the service of the house of God;