1 Mambo ya Nyakati 23 : 11 1st Chronicles chapter 23 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Mambo ya Nyakati 23:11
Naye Yahathi alikuwa mkubwa wao, na Zina alikuwa wa pili; lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; basi wakawa mbari ya baba kwa kuhesabiwa pamoja.
|
1st Chronicles 23:11Jahath was the chief, and Zizah the second: but Jeush and Beriah didn't have many sons; therefore they became a fathers' house in one reckoning. |