1 Mambo ya Nyakati 23 : 11 1st Chronicles chapter 23 verse 11

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 23:11

Naye Yahathi alikuwa mkubwa wao, na Zina alikuwa wa pili; lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; basi wakawa mbari ya baba kwa kuhesabiwa pamoja.
soma Mlango wa 23

1st Chronicles 23:11

Jahath was the chief, and Zizah the second: but Jeush and Beriah didn't have many sons; therefore they became a fathers' house in one reckoning.