1 Mambo ya Nyakati 12 : 17 1st Chronicles chapter 12 verse 17
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Mambo ya Nyakati 12:17
Naye Daudi akatoka ili kuwalaki, akajibu, akawaambia, Kama mmenijia kwa amani ili kunisaidia, basi moyo wangu utaambatana nanyi; lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu, kwa kuwa hamna udhalimu mikononi mwangu, Mungu wa baba zetu na alitazame neno hili, na kulikemea.
|
1st Chronicles 12:17David went out to meet them, and answered them, If you be come peaceably to me to help me, my heart shall be knit to you; but if [you be come] to betray me to my adversaries, seeing there is no wrong in my hands, the God of our fathers look thereon, and rebuke it. |