1 Mambo ya Nyakati 11 : 6 1st Chronicles chapter 11 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Mambo ya Nyakati 11:6
Naye Daudi akasema, Mtu ye yote atakayekuwa wa kwanza wa kuwapiga Wayebusi, yeye atakuwa mkuu na jemadari. Naye wa kwanza aliyepanda ni Yoabu mwana wa Seruya, naye akawa mkuu.
|
1st Chronicles 11:6David said, Whoever strikes the Jebusites first shall be chief and captain. Joab the son of Zeruiah went up first, and was made chief. |