1 Mambo ya Nyakati 11 : 6 1st Chronicles chapter 11 verse 6

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 11:6

Naye Daudi akasema, Mtu ye yote atakayekuwa wa kwanza wa kuwapiga Wayebusi, yeye atakuwa mkuu na jemadari. Naye wa kwanza aliyepanda ni Yoabu mwana wa Seruya, naye akawa mkuu.
soma Mlango wa 11

1st Chronicles 11:6

David said, Whoever strikes the Jebusites first shall be chief and captain. Joab the son of Zeruiah went up first, and was made chief.