1 Mambo ya Nyakati 11 : 20 1st Chronicles chapter 11 verse 20

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 11:20

Tena Abishai, nduguye Yoabu, alikuwa mkuu wa wale watatu; kwa kuwa aliuinua mkuki wake juu ya watu mia tatu, akawaua; akawa na jina kati ya wale watatu.
soma Mlango wa 11

1st Chronicles 11:20

Abishai, the brother of Joab, he was chief of the three; for he lifted up his spear against three hundred and killed them, and had a name among the three.